Followers

Thursday, March 1, 2012

THIS CITIZEN HAS MOVED TO www.Ngartia.WordPress.com DUE TO IMPROVEMENT IN LIVING CONDITIONS. :) sorry for inconveniences caused.

Monday, January 30, 2012

HEY CRITIC

For those who for money spell
I do not have any quarrel.
It is a honourable job as well.

But

I despise those who pull out irrelevant mistakes
And burning wits on foolish literary stakes
arrogance hissing in their letters. Folly smokes.

Sorry

I can't see your sense. Your ego's opaque
so please, if you do it for the cheque
Try and hand me not your critique.

Cool?

Tuesday, January 10, 2012

NGOJA MIAKA TANO

wanasiasa tuna wachache wazuri
hao wengineni ni wahuni.
wanaduvako na maneno mazuri
kumbe wanatumanga kichinichini.

na maskini bado wanakimbia shoti
wakienda kupewa noti
kisha wanaachwa wakiteta
ati matajiri wanawacheza.

nyi ndo mlijitenda,
mkienda kupewa kimoja
mkaachia mama pima pesa
mkarudi mkiona giza.

keshoye ulevi umeisha
pombe kaisha kwa kichwa,
ndo unaona mashida
karibu upate kichaa.

saizo MP wako ashahinda
yuko parliament anajipanga
vile mshahara atajiongeza
vile ushuru wako ataiba.

sa unaachwa ukilialia
na we nikaa kuku na dua
mwewe ndo huyo ashapaa
na kifaranga wako pia.

ni ten nil amekuchapa
wakidi wamesare chuo wakisaka chapaa
wwanadai chuo wako overshadowed ka Vitz kwa carpark
sa manual labour ndo zao ,vibarua kuchapa

stress nazo zmefanya bibiako akachapa

na venye skuizi ni ngumu kupata mkwanja
ni mafinjefinje,hakuna makapa

unaanza kusaka vibarua
kuchumia chini ya jua
na kivulini hautalia

na home wakidi wanalia
na hauna cha kuwapakulia.

usiku huwezi sinzia
fikra zilivokusumbua

unangoja tena miaka tano
upewe mia na hamsini
uende ulipe madeni
umchague mwingine mhuni.